.

Kazi Zetu

Kuhamasisha vijana kujenga tabia ya kusoma vitabu  kupitia mitandao ya kijamii na vipeperushi.
Kukusanya vitabu vinavyofaa kusomwa na vijana na kuvisambaza kwa vijana wote Tanzania na afrika
Kukutana na watunzi wa vitabu kwa mwaka mara mbili ili kuratibu sindano la usomaji vitabu
Kuihimiza serekali kusambaza vitabu kwa wingi kwenye maktaba,mashule na vyuo ili vijana wapate kuvisoma kwa urahisi
Kuhimiza serekali na wadau wengine kujenga maktaba za kisasa kila kona ya nchi ili vijana wapate sehemu bora na tulivu za kujisomea. 

No comments:

Post a Comment